WATU 19 WAFARIKI AJALI YA NDEGE ZIWA VICKTORIA
Ndege hiyo ya Precision Air ambayo ilikuwa na watu 43 ilikuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda Bukoba. Bukoba. Watu 19 wakiwemo abiria na wahudumu wamefariki dunia katika ajali ya ndege ya shirika la Ndege la Precision Air iliyotokea asubuhi ya leo Jumapili Novemba 6, 2022. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametangaza vifo hivyo leo jioni baada ya
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed